Category: NYIMBO MPYA YA

  • Audio Diamond platnumz nitafanyaje download mp3 download

    Pakua mp3

    Nitafanyaje Lyrics

    [Intro]
    Oooooooh oooh
    Enheee
    Hii ni kwa niaba

    [Verse 1]
    Siwezi sema kitandani, labda umasikini wangu
    Ndo kilionishusha thamani wathaminike wenzangu
    Siwezi sema sikujali, labda vizawadi vyangu mimi
    Havikufikia ukubwa wanavyotoa wenzangu

    [Pre Chorus]
    Kinachoniumiza ridhiki hugawa mola
    Ingalikuwa mimi mbona angehomola
    Na mbaya kabisa, rafiki wananichora
    Kwa hizo posti zake na wenye nguvu la dollar

    [Chorus]
    Oooh oh mi moyo wangu mama
    Unaona uchungu
    Mwenzake mi moyo wangu
    Anauumiza sana
    Sema nitafanya nini
    Ndo hivyo nitafanyaje
    Ila nitafanya nini
    Ndo hivyo nitafanyaje

    You might also like

    [Verse 2]
    Nashikwa kigagaziko kila nikiingia chumbani
    Sijui nilalie tandiko ama sakafuni yani
    Nacheka tu kwa nje ndani, masikitikoo
    Sababu pengo lako honey, bado lipo

    [Pre Chorus]
    Kinachoniumiza ridhiki hugawa mola
    Ingalikuwa mimi mbona angehomola
    Na mbaya kabisa, rafiki wananichora
    Kwa hizo posti zake na wenye nguvu la dollar

    [Chorus]
    Oooh oh mi moyo wangu mama
    Unaona uchungu
    Mwenzake mi moyo wangu
    Anauumiza sana

    [Bridge]
    Oyaaa, DJ DJ hii ngoma iweke repeat
    Maana inatupa stimu na wanangu kulilia kijiti
    DJ DJ hii ngoma iweke repeat
    Asa jitie wazimu kuitoa tuuzime muziki

    Kwa maana inatupa (Vibeee)
    Eh inatupa (Vibeee)
    Wanangu inawapa (Vibeee)
    Eh inatupa (Vibeee)
    Machizi boti wanapata (Vibeee)
    Eh wanapata (Vibeee)
    Na bebe zinipata (Vibeee)
    Eh zinapata (Vibeee)

    Namnem mwanangu kwa upande wa khanga
    Nilitamani tengе ila sijajipanga
    Namnema mwanangu kwa midabwada mwenzio
    Nilitamani maless ila ndo sina salio

    Mama yoo mama yoo (Wamеnitenda hawa kausha damu)
    Ooh mama yoo mama yoo (Wamenitenda hawa kausha damu)
    Ooh mama yooo (Wamenitenda hawa kausha damu)
    Mama yoo mama yoo (Wamenitenda hawa kausha damu)

    Asaaa waiteeeee eeh
    Oya makofi kigogo nipe mawili
    Kama hujatumika sana sehemu za siri
    Kama sio mloganzila shepu asili
    Sa nipe ya kibunge-bunge utitiri (Twenzetu)

    Asa good walete, walete hapa kati
    Walete hao, walete hapa kati
    Walete hasa, walete hapa kati
    Walete hao, walete hapa kati

    Eeh tunacheza mpaka saa ngapi
    Tunacheza (Mpaka asubuhi)
    Tunaruka mpaka saa ngapi
    Tunacheza (Mpaka asubuhi)

    Nepe tena, bado sijaona
    Nepe tena, bado sijaona
    Nepe tena, bado sijaona
    Nepe tena, bado sijaona

    Eeeeh (umelewa)
    Aah (unayumba)
    Eeeeh (umelewa)
    Aah (unayumba)
    We toss umelewa asa mbona unayumba
    Aya kunambi umelewa asa mbona unayumba

    Oya wahauni wana namba zao zinaitwa (Arobaini tano)
    Wanangu wana mamba zao zinaitwa (Thelasini na mbili)
    Masala wana mamba zao zinaitwa (Ishirini na sita)
    Oya kuna wengine hawana namba ila chokoza

    Kitimtim kitimtim
    Kitimtim kitimtim
    We mama Dangote
    Ni Exelent vyema tiki ama kwa kizungu good

  • Audio Diamond platnumz moyo download mp3 download

    https://audiomack.com/embed/diamondplatnumz/song/moyo