Suruhisho la mechi ya yanga Vs Simba leo

Advertisements
PATA HABARI CHAP JIUNGE NASI WHATSAPP

Leo, Machi 27, 2025, viongozi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), pamoja na klabu za Simba na Yanga, wanakutana katika ofisi za Baraza la Michezo la Taifa (BMT) chini ya usimamizi wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo. Lengo la kikao hiki ni kujadili hatma ya mechi ya watani wa jadi, maarufu kama Kariakoo Derby, ambayo iliahirishwa tarehe 8 Machi 2025 kutokana na sintofahamu iliyotokea kabla ya mchezo huo. Pande zote zimehakikisha ushiriki wao katika kikao hiki muhimu.

Kikao cha leo kinatarajiwa kutoa mwongozo kuhusu lini na jinsi gani mechi hiyo itachezwa, pamoja na kujadili masuala mengine muhimu yanayohusu mchezo huo na mustakabali wa soka la Tanzania.

Advertisements
JE UNA MASWALI? JIUNGE NASI WHATSAPP

FOLLOW The Street Media

Advertisements
Join Us on WhatsApp JIUNGE NASI WHATSAPP