Mambo gani muhimu yanapaswa kuzingatiwa wakati wa kuomba mkopo?

  • Hakikisha umesaini fomu ya maombi ya mkopo
  • Hakikisha mdhamini wako amesaini fomu yako katika eneo lake
  • Hakikisha fomu yako imesainiwa na kugongwa mihuri na Serikali ya Mtaa au Kijiji chako
  • Hakikisha fomu yako imesainiwa na mwanasheria au hakimu kuthibitisha taarifa zako na za mdhamini wako

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *