Category: AJIRA KAZI

  • AJIRA 235 WALIMU DARAJA LA III C – KIINGEREZA (ENGLISH)

    MDAs & LGAs

    235 Positions

    Application Period

    18/10/2025 – 01/11/2025

    Duties and Responsibilities

    i.Kuandaa azimio la kazi, maandalio ya masomo, nukuu za masomo na Mpango wa Kazi wa majukumu mengine aliyokabidhiwa;

    ii.Kutengeneza na Kufaraghua zana za kufundishia na kujifunzia;

    iii.Kufundisha, kufanya Tathmini na kutunza kumbukumbu za Maendeleo ya Wanafunzi;

    iv.Kusimamia na kufuatilia mahudhurio ya wanafunzi Shuleni na Darasani;

    v.Kusimamia malezi ya wanafunzi Kiakili, Kimwili, Kiroho na kutoa ushauri nasaha na unasihi;

    vi.Kutoa ushauri wa Kitaalamu na kutaaluma kuhusu maendeleo ya Elimu;

    vii.Kusimamia na utunzaji wa vifaa na mali za Shule;

    viii.Kazi nyingine atakazopangwa na Mkuu wa Shule kulingana na majukumu ya Shule;

    Qualifications

    Kuajiriwa mwenye Shahada ya Elimu (Bachelor with Education) au Shahada ya Ualimu (Bachelor of Education) yenye somo la kufundishia la Kiingereza au Shahada isiyo ya Ualimu/Elimu yenye somo la kufundishia la Kiingereza  pamoja na Stashahada ya Uzamili ya Elimu (Postgraduate Diploma in Education) kutoka Vyuo vya Elimu  ya Juu vinavyotambulika na Serikali. 

    Remuneration

    TGTS- D

  • AJIRA 459 MWALIMU DARAJA LA III B (BAIOLOJIA)

    MDAs & LGAs

    459 Positions

    Application Period

    18/10/2025 – 01/11/2025

    Duties and Responsibilities

    1. Kuandaa azimio la kazi, maandalio ya masomo, nukuu za masomo na Mpango wa Kazi wa majukumu mengine aliyokabidhiwa;
    2. Kutengeneza na Kufaraghua zana za kufundishia na kujifunzia;
    3. Kufundisha, kufanya Tathmini na kutunza kumbukumbu za Maendeleo ya Wanafunzi;
    4. Kusimamia na kufuatilia mahudhurio ya wanafunzi Shuleni na Darasani;
    5. Kusimamia malezi ya wanafunzi Kiakili, Kimwili, Kiroho na kutoa ushauri nasaha na unasihi;
    6. Kutoa ushauri wa Kitaalamu na kutaaluma kuhusu maendeleo ya Elimu;
    7. Kusimamia na utunzaji wa vifaa na mali za Shule;
    8. Kazi nyingine atakazopangwa na Mkuu wa Shule kulingana na majukumu ya Shule

    Qualifications

    Kuajiriwa mwenye cheti cha Mtihani wa Taifa wa Kidato cha Sita ambaye amefaulu masomo mawili au zaidi yanayofundishwa shuleni na kufaulu mafunzo ya Stashahada ya Ualimu ya miaka miwili (2) yenye somo la kufundishia la Baiolojia kutoka  Vyuo vya Ualimu vinavyotambulka na Serikali.  

    Remuneration

    TGTS-C

  • AJIRA 219 MSAIDIZI AFYA YA MAZINGIRA II (ENVIROMENTAL HEALTH ASSISTANT II)

    MDAs & LGAs

    219 Positions

    Application Period

    18/10/2025 – 01/11/2025

    Duties and Responsibilities

    i.Kudhibiti na kuzuia milipuko ya magonjwa;

    ii.Kupambana na kuzuia wadudu na wanyama wanaoeneza magonjwa;

    iii.Kusimamia uzikaji wa maiti zisizotambuliwa na zile zinazotokana na magonjwa ya kuambukiza;

    iv.Kuandaa taarifa mbali mbali za Afya ya Mazingira katika ngazi ya kata na kuziwasilisha katika mamlaka husika;

    v.Kukusanya na kuchambua takwimu za Afya ya Mazingira, katika kata na kutoa mrejesho ili kuchukua hatua zinazostahili;

    vi.Kutoa elimu ya afya ya mazingira kwa jamii;

    vii.Kukagua mazingira katika sehemu zinapotengenezwa vyakula ili kuhakikisha usalama na afya ya jamii;

    viii.Kusimamia sheria za afya ya mazingira katika ngazi ya Kata pamoja na kusaidia jamii katika kutengeneza sheria ndogondogo;

    ix.Kuhamasisha jamii katika kuboresha vyanzo vya maji na Usafi wa Mazingira;

    x.Kuhamasisha jamii kuhusu utekelezaji wa Huduma za Afya ya Msingi katika ngazi ya Kata; na

    xi.Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi zinazohusiana na elimu, uzoefu na ujuzi wake.

    Qualifications

    Kuajiriwa wenye Astashahada ya Sayansi ya Afya ya Mazingira kutoka chuo kinachotambuliwa na Serikali.

    Remuneration

    TGHS A

  • AJIRA 1000 WALIMU DARAJA LA III B – SHULE YA MSINGI

    MDAs & LGAs

    1000 Positions

    Application Period

    18/10/2025 – 01/11/2025

    Duties and Responsibilities

    i. Kuandaa azimio la kazi, maandalio ya masomo, nukuu za masomo na Mpango wa Kazi wa majukumu mengine aliyokabidhiwa;

    ii. Kutengeneza na Kufaraghua zana za kufundishia na kujifunzia;

    iii. Kufundisha, kufanya Tathimini na kutunza kumbukumbu za  Maendeleo ya Wanafunzi;

    iv. Kusimamia na kufuatilia mahudhurio ya wanafunzi Shuleni na Darasani;

    v. Kusimamia malezi ya wanafunzi Kiakili, Kimwili, Kiroho na kutoa  ushauri nasaha na unasihi;

    vi. Kutoa ushauri wa kitaalamu na kitaaluma kuhusu maendeleo ya Elimu;

    vii. Kusimamia na utunzaji wa vifaa na mali za shule; na

    viii. Kazi nyingine atakazopangiwa na Mkuu wa Shule kulingana na majukumu ya Shule.

    Qualifications

    Kuajiriwa wenye Stashahada ya Elimu ya Msingi (Diploma in Primary Education) au Stashahada ya Elimu ya Sekondari (Diploma in Secondary Education/Diploma in Education) yenye masomo ya kufundishia ya Sanaa (Art Subjects) kutoka  Vyuo vya Ualimu vinavyotambulika na Serikali. 

    Remuneration

    TGTS- C.

  • AJIRA 1218 WALIMU DARAJA LA IIIC (BAIOLOJIA)

    MDAs & LGAs

    1218 Positions

    Application Period

    18/10/2025 – 01/11/2025

    Duties and Responsibilities

    i.         Kuandaa azimio la kazi, maandalio ya masomo, nukuu za masomo na Mpango wa Kazi wa majukumu mengine aliyokabidhiwa;

    ii.        Kutengeneza na Kufaraghua zana za kufundishia na kujifunzia;

    iii.       Kufundisha, kufanya Tathmini na kutunza kumbukumbu za Maendeleo ya Wanafunzi;

    iv.      Kusimamia na kufuatilia mahudhurio ya wanafunzi Shuleni na Darasani;

    v.        Kusimamia malezi ya wanafunzi Kiakili, Kimwili, Kiroho na kutoa ushauri nasaha na unasihi;

    vi.      Kutoa ushauri wa Kitaalamu na kutaaluma kuhusu maendeleo ya Elimu;

    vii.     Kusimamia na utunzaji wa vifaa na mali za Shule;

    viii.    Kazi nyingine atakazopangwa na Mkuu wa Shule kulingana na majukumu ya Shule

    Qualifications

    Β·       Kuajiriwa mwenye Shahada ya Elimu (Bachelor with Education) au Shahada ya Ualimu (Bachelor of Education) yenye somo la kufundishia la Baiolojia au Shahada isiyo ya Ualimu/Elimu yenye somo la kufundishia la Baiolojia pamoja na Stashahada ya Uzamili ya Elimu (Postgraduate Diploma in Education) kutoka Vyuo vya Elimu  ya Juu vinavyotambulika na Serikali.

    Remuneration

    TGTS- D

  • MWALIMU DARAJA LA III B – HISABATI (MATHEMATICS)

    MDAs & LGAs

    709 Positions

    Application Period

    18/10/2025 – 01/11/2025

    Duties and Responsibilities

    i.Kuandaa azimio la kazi, maandalio ya masomo, nukuu za masomo na Mpango wa Kazi wa majukumu mengine aliyokabidhiwa;

    ii.Kutengeneza na Kufaraghua zana za kufundishia na kujifunzia;

    iii.Kufundisha, kufanya Tathimini na kutunza kumbukumbu za  Maendeleo ya Wanafunzi;

    iv.Kusimamia na kufuatilia mahudhurio ya wanafunzi Shuleni na Darasani;

    v.Kusimamia malezi ya wanafunzi Kiakili, Kimwili, Kiroho na kutoa  ushauri nasaha na unasihi;

    vi.Kutoa ushauri wa kitaalamu na kitaaluma kuhusu maendeleo ya Elimu;

    vii.Kusimamia na utunzaji wa vifaa na mali za shule; na 

    viii.Kazi nyingine atakazopangiwa na Mkuu wa Shule kulingana na majukumu ya Shule.

    Qualifications

    Kuajiriwa mwenye cheti cha Mtihani wa Taifa wa Kidato cha Sita ambaye amefaulu masomo mawili au zaidi yanayofundishwa shuleni na kufaulu mafunzo ya Stashahada ya Ualimu ya miaka miwili (2) yenye somo la kufundishia la Hisabati kutoka Vyuo vya Ualimu vinavyotambulika na Serikali. 

    Remuneration

    TGTS-C

  • NAFASI 1883 MWALIMU DARAJA LA III C – HISABATI (MATHEMATICS)

    MDAs & LGAs

    1883 Positions

    Application Period

    18/10/2025 – 01/11/2025

    Duties and Responsibilities

    i.Kuandaa azimio la kazi, maandalio ya masomo, nukuu za masomo na Mpango wa Kazi wa majukumu mengine aliyokabidhiwa;

    ii.Kutengeneza na Kufaraghua zana za kufundishia na kujifunzia;

    iii.Kufundisha, kufanya Tathmini na kutunza kumbukumbu za Maendeleo ya Wanafunzi;

    iv.Kusimamia na kufuatilia mahudhurio ya wanafunzi Shuleni na Darasani;

    v.Kusimamia malezi ya wanafunzi Kiakili, Kimwili, Kiroho na kutoa ushauri nasaha na unasihi;

    vi.Kutoa ushauri wa Kitaalamu na kutaaluma kuhusu maendeleo ya Elimu;

    vii.Kusimamia na utunzaji wa vifaa na mali za Shule; na

    viii.Kazi nyingine atakazopangwa na Mkuu wa Shule kulingana na majukumu ya Shule

    Qualifications

    Kuajiriwa mwenye Shahada ya Elimu (Bachelor with Education) au Shahada ya Ualimu (Bachelor of Education) yenye somo la kufundishia la Hisabati au Shahada isiyo ya Ualimu/Elimu yenye somo la kufundishia la Hisabati pamoja na Stashahada ya Uzamili ya Elimu (Postgraduate Diploma in Education) kutoka Vyuo vya Elimu  ya Juu vinavyotambulika na Serikali. 

    Remuneration

    TGTS- D

  • Magroup ya Whatsapp ya Vyuo na wanachuo – Magroup ya whatsapp ya tanzania

    Magroup ya Whatsapp ya Vyuo na Wanachuo

    • Muhimbili University of Health and Allied Sciences MUHAS
    • Mbeya University of Science and Technology MUST
    • College of Business Education CBE
    • Ardhi University AU
    • The Open University of Tanzania OUT
    • Institute of Accountancy Arusha IAA
    • Ardhi Institute and UCLAS
    • State University of Zanzibar SUZA
    • Zanzibar Urban
    • Institute of Development Management
    • Sokoine University of Agriculture SUA
    • Nelson Mandela African Institute of Science and Technology NM–AIST
    • Katavi University of Agriculture KUA
    • Technical College and MIST
    • Moshi Co-operative University MoCU
    • Moshi university college of cooperative and business studies(MUCCOBS)
    • IIT Madras Zanzibar

    Siku hizi, magroup ya Whatsapp yamekuwa sehemu muhimu katika maisha ya wanachuo nchini Tanzania. Hapa kuna baadhi ya manufaa na changamoto zinazohusiana na magroup haya:

    Manufaa:

    1. Mawasiliano ya Haraka: Wanachuo wanaweza kuwasiliana kwa urahisi na wenzao, walimu, na wahadhiri. Hii inasaidia katika kushiriki taarifa muhimu, kama ratiba za masomo na matangazo ya chuo.
    2. Kusaidiana: Katika magroup haya, wanachuo wanaweza kusaidiana na maswali ya masomo, kujadili mada mbalimbali, na kupata msaada wa kiufundi.
    3. Mikakati ya Matukio: Ni rahisi kupanga matukio kama semina, vikao vya kujifunza, na shughuli za kijamii kupitia magroup haya.
    4. Ushirikiano wa Kijamii: Wanachuo wanapata fursa ya kujenga urafiki na mtandao wa kitaaluma, unaoweza kuwa na manufaa baadaye katika maisha yao ya kitaaluma.

    Changamoto:

    1. Kukosa Umuhimu: Wakati mwingine, mawasiliano yanaweza kuwa yasiyo rasmi na yasiyohusiana na masomo, ikifanikisha kupoteza mwelekeo wa kundi.
    2. Makaribisho Mengi: Kila mtu anapojaribu kushiriki mawazo yake, inaweza kuwa na mfuatano wa jumbe nyingi, na kusababisha machafuko.
    3. Mwanachuo Kutojithibitisha: Kwa kuwa na uwezo wa kujificha nyuma ya skrini, baadhi ya wanachuo wanaweza kuamua kutovuta umuhimu wa kujihusisha kwa ukamilifu na kundi.
    4. Kuharibu Muda: Wakati mwingine, mazungumzo yasiyo rasmi yanaweza kuchukua muda mwingi ambao ungeweza kutumika kwa masomo au kazi nyingine muhimu.

    Hitimisho:

    Hivyo basi, ni muhimu kwa wanachuo kutumia magroup haya kwa busara, huku wakichangia maarifa na kujifunza kwa pamoja. Tunapaswa kuhakikisha kuwa tunafanya mazingira ya kujifunza na kusaidiana ambayo yanachangia katika maendeleo ya kitaaluma na kijamii. Je, una maoni au uzoefu wowote kuhusu magroup ya Whatsapp ya vyuo? Shiriki nasi! πŸŒŸπŸ“š

  • Kuitwa Kazini Serikalini, UTUMISHI Call For Work

    Angalia Majina ya Walioitwa Kazini UTUMISHI (Kuitwa Kazini UTUMISHI – Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma (PSRS)). Kuitwa Kazini (Placement) UTUMISHI – Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma (PSRS) 2025.

    Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) ni chombo cha serikali chenye hadhi ya Idara huru kilichoanzishwa mahsusi kurahisisha mchakato wa ajira katika Utumishi wa Umma. Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma ilianzishwa chini ya Sheria ya Utumishi wa Umma Na. 8 ya 2002 kama ilivyorekebishwa na Sheria Na. 18 ya 2007, kifungu cha 29(1).

    Jukumu kuu la PSRS ni kurahisisha uajiri katika Utumishi wa Umma. Kulingana na Kifungu cha 298 cha Sheria ya Utumishi wa Umma ya 2002, kama ilivyorekebishwa na Sheria Na. 18 ya 2007 kifungu cha 29(1), majukumu ya PSRS ni: Kusaka wataalamu mbalimbali wenye ujuzi maalum na kuandaa hifadhidata ya wataalamu hao kwa urahisi wa uajiri; Kusajili wahitimu na wataalamu kwa madhumuni ya marejeo rahisi ya kujaza nafasi wazi; Kutangaza nafasi wazi zinazojitokeza kwenye Utumishi wa Umma; Kuwashirikisha wataalamu stahiki kwa madhumuni ya kufanya usaili; Kushauri waajiri juu ya masuala mbalimbali yanayohusiana na ajira; na Kufanya jambo lingine lolote linaloweza kuelekezwa na Waziri mwenye dhamana ya Utumishi wa Umma.

    Chombo hiki kinawaalika watu kazini katika taasisi mbalimbali kama ifuatavyo:

    Mei 2025 TANGAZO LA KUITWA KAZINI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA (05-05-2025) TANGAZO LA KUITWA KAZINI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA (03-05-2025)

    Aprili 2025

    April 2025

    Jinsi ya Kukagua Kama Umechaguliwa Kuitwa Kazini?

    Ili kujua kama umeitwa kazini na UTUMISHI, tembelea tovuti rasmi ya Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma. Wamechapisha orodha ya majina ya walioitwa, hivyo hakikisha umetembelea na kuthibitisha jina lako katika orodha hiyo.

  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA JESHI LA POLISI TANZANIA

    JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

    WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI

    JESHI LA POLISI TANZANIA

    Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania anatangaza nafasi za ajira kwa vijana wa Kitanzania wenye elimu ya Shahada, Stashahada, Astashahada, Kidato cha sita na Kidato cha nne wenye sifa zifuatazo:

    1. Sifa za Muombaji

    a) Awe raia wa Tanzania kwa kuzaliwa.

    b) Wazazi wake wawe raia wa Tanzania kwa kuzaliwa.

    c) Awe amehitimu kidato cha nne au sita kuanzia mwaka 2019 hadi 2024.

    d) Kwa waombaji wa kidato cha nne na sita pamoja na wenye Astashahada wawe na umri kuanzia miaka 18 hadi 25.

    e) Kwa waombaji wa kidato cha nne wawe na ufaulu wa daraja la kwanza mpaka la nne (Division I – IV). Kwa waombaji wenye ufaulu wa daraja la nne (Division IV) wawe na ufaulu wa alama (Points) 26 hadi 28.

    f) Kwa waombaji wa kidato cha sita wawe na ufaulu wa daraja la kwanza mpaka la tatu (Division I – III). g) Wahitimu wa Shahada na Stashahada wawe na umri kuanzia miaka 18 hadi 30.

    h) Awe na urefu usiopungua futi tano na inchi nane (5’8”) kwa wanaume, na futi tano inchi nne (5’4”) kwa wanawake.

    i) Awe na kitambulisho cha taifa au namba ya utambulisho kutoka mamlaka ya vitambulisho vya taifa (NIDA).

    j) Awe na uwezo wa kuongea lugha ya Kiswahili na Kingereza kwa ufasaha.

    k) Awe na afya njema kimwili na kiakili iliyothibitishwa na daktari wa Serikali.

    l) Awe hajaoa/kuolewa au kuwa na mtoto/watoto.

    m) Awe hajawahi kutumia dawa za kulevya za aina yoyote.

    n) Awe tayari kuhudhuria mafunzo ya awali ya taaluma ya Polisi.

    o) Awe hajaajiriwa au hajawahi kuajiriwa na taasisi nyingine ya Serikali.

    p) Awe tayari kufanya kazi za Polisi mahali popote Tanzania.

    q) Awe tayari kujigharamia katika hatua zote za usaili endapo ataitwa kwenye usaili. r) Asiwe na alama za kuchorwa mwilini (tattoo).

    s) Asiwe na kumbukumbu za uhalifu.

    t) Kwa waombaji wenye elimu ya kiwango cha Shahada (NTA level 8), Stashahada (NTA level 6) na Astashahada (NTA Level 5 au NVA Level 3) wanatakiwa wawe na fani zilizoainishwa kwenye tangazo hili.

    2. Utaratibu wa kutuma Maombi

    1. Waombaji wote wanatakiwa waandike barua za maombi wao wenyewe kwa mkono (Handwriting) bila kusahau namba za simu na watumie anuani ya Mkuu wa Jeshi la Polisi S.L.P 961 DODOMA. Barua hiyo iambatishwe kwenye maombi ikiwa kwenye mfumo wa β€˜pdf’.
    2. Waombaji wote wafanye maombi yao kupitia kwenye mfumo wa Ajira wa Polisi (TANZANIA POLICE FORCE – RECRUITMENT PORTAL) unaopatikana kwenye kiunganishi (link) cha tovuti ya Jeshi la Polisi (https://ajira.tpf.go.tz). Maombi yatakayowasilishwa kwa njia ya posta, barua pepe (email) au kwa mkono hayatapokelewa.
    3. Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 04/04/2025.


    FANI ZINAZOTAKIWA KWA KILA NGAZI YA ELIMU

    TANZANIA BARA

    Shahada

    1. Anesthesia
    2. Animal Science
    3. Anthropology
    4. Architecture
    5. Automobile Engineering
    6. Biology
    7. Biomedical Engineering
    8. Biotechnology and Laboratory Science
    9. Botany
    10. Civil Engineering
    11. Computer Engineering
    12. Computer Information System
    13. Computer Network and Security Engineering
    14. Computer Science
    15. Cyber Crime and Cyber Security
    16. Cyber Forensic and Cyber Security
    17. Database Administration
    18. Electrical Engineering
    19. Film and Video Production
    20. French, Portuguese, Chinese and Arabic
    21. General Agriculture
    22. Gynecology
    23. Journalism and Mass Communication
    24. Land Management and Evaluation
    25. Law Enforcement
    26. Marine Engineering
    27. Marine Transportation and Nautical Science
    28. Mechanical Engineering
    29. Medical Doctor
    30. Medical Laboratory
    31. Multimedia Content
    32. Network Engineering
    33. Nursing
    34. Pediatrician
    35. Pharmacy
    36. Physiotherapy
    37. Psychiatric Nurse
    38. Quantity Surveyor
    39. Radiology
    40. Range Management
    41. Real Estate
    42. Records and Archive Management
    43. Shipping and Logistics Management
    44. Sign Language/Special Needs
    45. Software Engineering
    46. Statistics
    47. System Development
    48. Tax Management
    49. Telecommunication and Electronics Engineering
    50. Translation and Interpretation
    51. Veterinary Medicine

    Stashahada

    1. Animal Health and Production
    2. Auto Electrical Engineering
    3. Cartography
    4. Clinical Dentistry
    5. Clinical Medicine
    6. Forensic Science
    7. Graphic Design, Multimedia and Animation
    8. Information and Communication Technology
    9. Masterfisherman
    10. Music
    11. Nursing and Midwifery
    12. Optometrist
    13. Performing and Visual Arts
    14. Radar Operation
    15. Sound Engineering
    16. Wildlife Management

    Astashahada

    1. Air Conditioning and Refrigeration
    2. Aluminum and Glass Working
    3. Autobody Repair
    4. Aviation Quality Manager
    5. Aviation Safety Manager
    6. Boat Painting
    7. Boat Skippers for Autobody Engineering
    8. Car Interior Design
    9. Car Paint Technician
    10. Carpentry and Joinery
    11. Clearing and Forwarding
    12. Divinity
    13. Drone Operation
    14. Electrical Installation
    15. Excavator Operation
    16. Film Production
    17. Fitter and Turner
    18. Forensic Science
    19. Hydraulic and Pneumatic Mechanics
    20. Industrial Electrical Engineering
    21. Islamic Knowledge
    22. Judo, Karate, Boxing and Taekwondo
    23. Laboratory Technician
    24. Mandatory Courses
    25. Marine Electrical Engineering
    26. Mason and Brick Laying
    27. Medical Records
    28. Motorcycle Mechanics
    29. Motor Rewinding
    30. Motor Vehicle Mechanics
    31. Offset Printing
    32. Paintings and Sign Writing
    33. Performing and Visual Arts
    34. Plumbing and Pipe Fittings
    35. Printing Machine Operation
    36. Radio/Electronics and Communication Technology
    37. Rating Part Engineering
    38. Rating Part Navigation
    39. Scuba Diving
    40. Sewing Machine Maintenance
    41. Tailoring
    42. Truck and Heavy Duty Mechanics
    43. Veterinary Laboratory
    44. Welding and Fabrications

    ZANZIBAR

    Shahada

    1. Accounting and Finance
    2. Civil Engineering
    3. Computer Science
    4. Electronics and Telecommunication
    5. Geography and Environmental Studies
    6. Insurance and Risk Management
    7. Journalism and Broadcasting
    8. Law/Law Enforcement
    9. Medical Doctor
    10. Medical Laboratory
    11. Multimedia Technology
    12. Nurse
    13. Pharmacy
    14. Procurement and Supply Management
    15. Psychiatrist
    16. Radiology

    Stashahada

    1. Animal Health and Production
    2. Civil Engineering
    3. Clinical Medicine
    4. Computer Science
    5. Counselling and Psychology
    6. Electrical Engineering
    7. Electronics and Telecommunication
    8. Hospitality and Tourism Management
    9. Human Resource Management
    10. Information and Communication Technology
    11. Mechanical Engineering
    12. Medical Laboratory
    13. Nursing and Midwifery
    14. Pharmaceutical Science
    15. Physiotherapy
    16. Record and Archives Management
    17. Science with Education
    18. Sign Language

    Astashahada

    1. Carpentry and Joinery
    2. Driving
    3. Electrical Installation
    4. Hotel Management
    5. Housekeeping
    6. Mason and Brick Laying
    7. Plumbing and Pipe Fittings
    8. Tailoring

    Imetolewa na:

    Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania,

    Makao Makuu ya Jeshi la Polisi,

    S.L.P 961,

    DODOMA.

    20/03/2025.