Klabu ya Rosenborg BK inavutiwa na inamfatilia huduma ya kiungo wa klabu ya Simba SC, Jean Charles Ahoua (23)

Advertisements
PATA HABARI CHAP JIUNGE NASI WHATSAPP

🔴💎| UPDATE: JEAN CHARLES AHOUA

Advertisements
JE UNA MASWALI? JIUNGE NASI WHATSAPP
  • Klabu ya Rosenborg BK inavutiwa na inamfatilia huduma ya kiungo wa klabu ya Simba SC, Jean Charles Ahoua (23) ili kupata saini yake dirisha kubwa la uhamisho
  • Rosenborg BK kutoka nchini Norway, na ofa kubwa itatumwa baada ya msimu huu kumalizika na imevutiwa na huduma ya Jean Charles Ahoua katika michuano ya Shirikisho Afrika
  • Mpaka sasa Jean Charles Ahoua anahusishwa kuhitajika na klabu za Rosenborg BK kutoka nchini Norway na Almeria SC kutoka nchini Spain.
Advertisements
Join Us on WhatsApp JIUNGE NASI WHATSAPP