Klabu ya Wydad ya nchini Morocco imewataarifu klabu ya Yanga SC

TETESI ZA USAJILI 🚨

Klabu ya Wydad ya nchini Morocco imewataarifu klabu ya Yanga SC🔰 ambayo inammiliki Mchezaji CLEMENT MZIZE kwamba endapo itakubali OFA yao ya kumnunua Mzize kwa $500,000 na BONUS yenye vigezo Juu.

Wydad wametoa ahadi ya kuwaalika Yanga SC kufanya pre-season yao ijayo nchini MOROCCO, BURE kabisa, gharama zote zitakuwa juu yao kama BONUS pia.✅

Clement Mzize ni mali, Yanga wenyewe ndo wataamua kumuuza au wabaki nae!!🎲😉

PIA KLABU YA AL-ITTIHAD LIBYA nao wameweka OFA kwa Yanga wakimhuitaji CLEMENT MZIZE pamoja na KI AZIZ!!😜😜

SASA HAPA YANGA NDO WATAAMUA KUSUKA AMA KUNYOAA!!🔰

FOLLOW @esauuofficial

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *