MATOKEO YA SINGIDA BS vs YANGA SC

Advertisements
PATA HABARI CHAP JIUNGE NASI WHATSAPP

KUTOKA SINGIDA: Hii hapa sehemu ya kuchezea ‘pitch’ ya dimba jipya la Singida BS ambapo leo kutakuwa na mechi maalumu kati ya Singida BS dhidi ya Yanga SC.

Hili hapa dimba jipya la Singida Black Stars liitwalo Airtel Stadium ambalo leo litazinduliwa rasmi.

Advertisements
JE UNA MASWALI? JIUNGE NASI WHATSAPP

Mashabiki wa timu hiyo wanasema wanaamini uwanja huo hautokuwa wa kufungiwafungiwa.

Katika uzinduzi huo itapigwa mechi ya kirafiki kati ya Singida BS dhidi ya Yanga SC.

Advertisements
Join Us on WhatsApp JIUNGE NASI WHATSAPP