JKT PDF JKT PDF! DOWNLOAD.

KUTOKA SINGIDA: Hii hapa sehemu ya kuchezea ‘pitch’ ya dimba jipya la Singida BS ambapo leo kutakuwa na mechi maalumu kati ya Singida BS dhidi ya Yanga SC.

Hili hapa dimba jipya la Singida Black Stars liitwalo Airtel Stadium ambalo leo litazinduliwa rasmi.

Mashabiki wa timu hiyo wanasema wanaamini uwanja huo hautokuwa wa kufungiwafungiwa.

Katika uzinduzi huo itapigwa mechi ya kirafiki kati ya Singida BS dhidi ya Yanga SC.

Categorized in: