DEKALB ni chapa muafaka ya mbegu za mahindi inayojulikana kwa ubora na ubunifu. Mbegu hizi zinatoa mavuno makubwa, zinastahimili ukame, na zina ulinzi mzuri dhidi ya magonjwa kama vile Northern Corn Leaf Blight (NCLB), Maize Streak Virus (MSV), Grey Leaf Spot (GLS), na Diplodia.

Aina za Mbegu za Mahindi za DEKALB
- Dk777
- Mwinuko: 800m – 1800m
- Mavuno: gunia 40-44 kwa hekari (tani 8-10).
- Kipindi cha Ukuaji: Siku 130-150.
- Sifa:
- Hustahimili magonjwa ya kuoa kwa gunzi.
- Huzaa punje nyingi (mapacha).
- Mimea ina shina imara.
- Dk8031
- Kipindi cha Ukuaji: 3.5 – 4 miezi.
- Mavuno: hadi tani 7/ha.
- Sifa:
- Inastahimili ukame.
- Mshindo mzuri wa majani.
- Mimea ina shina imara.
- Dk8033
- Kipindi cha Ukuaji: 3.5 – 4 miezi.
- Mavuno: hadi tani 7/ha.
- Sifa:
- Inastahimili ukame na magonjwa ya majani.
- Ina uwezo wa kuzaa punje nyingi.
- Dk9089
- Kipindi cha Ukuaji: 4 – 4.5 miezi.
- Mwinuko: 1400 – 1900m asl.
- Mavuno: hadi tani 10/ha.
- Sifa:
- Kuzaa punje nyingi.
- Shina imara na inasimama vizuri.
Bidhaa za Ulinzi wa Mahindi
Fungicides:
- Nativo SC 300
Herbicides:
- Auxo EC 337
- Guardian Max
Insecticides:
- Belt SC 480
- Decis EC 025
- Thunder OD 145
Mambo Muhimu ya Kilimo
- Maandalizi ya Shamba: Hakikisha shamba limeandaliwa vizuri kabla ya kupanda.
- Umwagiliaji: Inahitajika kwa mahindi hasa wakati wa ukame.
- Palizi: Kudhibiti magugu kuhakikisha ukuaji mzuri wa mimea.
- Mbolea: Tumia mbolea za kupandia na za kukuzia ili kuongeza uzalishaji.
- Ufuatiliaji wa Magonjwa: Hakikisha unafuatilia magonjwa na kuchukua hatua haraka.
Changamoto za Kilimo cha Mahindi
- Ukame
- Magonjwa
- Mabadiliko ya hali ya hewa
Kwa maelezo zaidi na kujifunza zaidi, jiunge na kundi la wakulima kwenye WhatsApp: Jiunge na Kundi
Comments