Maelezo: Shule hii ipo katika Wilaya ya Mvomero, Mkoa wa Morogoro. Ipo kilomita 25 kutoka Morogoro Mjini kuelekea Iringa. Kama unatokea njia ya Dar es Salaam, Dodoma au Iringa, teremka Msamvu, panda daladala kuelekea stendi kuu ya mabasi madogo iliyoko katikati ya mji kwa gharama ya T.Shs 400/= tu, kisha panda daladala inayoelekea Mzumbe kwa nauli ya T.Shs. 1000/= tu. Ukitumia Tax gharama yake ni T.Shs. 5,000/= kutoka Msamvu hadi mjini, na Tshs. 20,000/= kutoka mjini au Msamvu kwenda Mzumbe. Ukitokea njia ya Iringa ukiteremkia Sangasanga ambapo unaweza kufika Mzumbe kwa daladala nauli yake haizidi sh. 500/= au pikipiki nauli haizidi 5,000/=.

P0140 Hii ni namba inayotumiwa na Baraza la Mitihani la Taifa la Tanzania kwa Shule ya Sekondari Mzumbe.

Jina la Shule: Mzumbe Secondary School

Namba ya Shule: P0140

Aina ya Shule: Shule ya wavulana

Mkoa: Morogoro

Wilaya: Mvomero

Michepuo (Combinations) ya Shule Hii: PCM, PCB, HGL PMCs

  • PCM (Physics, Chemistry, Mathematics)

Waliochaguliwa Kidato cha Tano 2024/2025

ORODHA YA WANAFUNZI SHULE YA MZUMBE SECONDARY SCHOOL CENTRE

BOFYA HAPA KUONA ORODHA YA WANAFUNZI WALIOPANGWA KWENDA SHULE HI.

Kidato cha Tano Joining Instructions 2025

Joining instruction ya mzumbe – Hakiki kuwa una nyaraka zote muhimu kwa ajili ya kujiunga.

Pakua Joining Instructions

Kupata fomu ya kujiunga kupitia Whatsapp, jiunge na link hii: WhatsApp Link

NECTA: Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2025

Pakua Matokeo

Kupata matokeo kupitia Whatsapp, jiunge na link hii: WhatsApp Link

Mawasiliano ya Shule

P. O. Box 19,
Mzumbe – Morogoro,
Tanzania.
www.mzumbesecschool.ac.tz
Mzumbesecondarysch@gmail.com

Categorized in: