Maelezo: Shule hii ipo katika Wilaya ya Mvomero, Mkoa wa Morogoro. Ipo kilomita 25 kutoka Morogoro Mjini kuelekea Iringa. Kama unatokea njia ya Dar es Salaam, Dodoma au Iringa, teremka Msamvu, panda daladala kuelekea stendi kuu ya mabasi madogo iliyoko katikati ya mji kwa gharama ya T.Shs 400/= tu, kisha panda daladala inayoelekea Mzumbe kwa nauli ya T.Shs. 1000/= tu. Ukitumia Tax gharama yake ni T.Shs. 5,000/= kutoka Msamvu hadi mjini, na Tshs. 20,000/= kutoka mjini au Msamvu kwenda Mzumbe. Ukitokea njia ya Iringa ukiteremkia Sangasanga ambapo unaweza kufika Mzumbe kwa daladala nauli yake haizidi sh. 500/= au pikipiki nauli haizidi 5,000/=.
P0140 Hii ni namba inayotumiwa na Baraza la Mitihani la Taifa la Tanzania kwa Shule ya Sekondari Mzumbe.
Jina la Shule: Mzumbe Secondary School
Namba ya Shule: P0140
Aina ya Shule: Shule ya wavulana
Mkoa: Morogoro
Wilaya: Mvomero
Michepuo (Combinations) ya Shule Hii: PCM, PCB, HGL PMCs
- PCM (Physics, Chemistry, Mathematics)
Waliochaguliwa Kidato cha Tano 2024/2025
ORODHA YA WANAFUNZI SHULE YA MZUMBE SECONDARY SCHOOL CENTRE
BOFYA HAPA KUONA ORODHA YA WANAFUNZI WALIOPANGWA KWENDA SHULE HI.
Kidato cha Tano Joining Instructions 2025
Joining instruction ya mzumbe – Hakiki kuwa una nyaraka zote muhimu kwa ajili ya kujiunga.
Pakua Joining Instructions
Kupata fomu ya kujiunga kupitia Whatsapp, jiunge na link hii: WhatsApp Link
NECTA: Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2025
Pakua Matokeo
Kupata matokeo kupitia Whatsapp, jiunge na link hii: WhatsApp Link
Mawasiliano ya Shule
P. O. Box 19,
Mzumbe – Morogoro,
Tanzania.
www.mzumbesecschool.ac.tz
Mzumbesecondarysch@gmail.com
Comments