Shule ya sekondari LULUMBA ni shule yenye wanafunzi wa kidato cha kwanza hadi cha sita, ni shule ya kutwa kwa kidato cha kwanza hadi cha nne na ni shule ya wasichana na wavulana kwa kidato cha kwanza hadi cha nne. Tunakukaribisha sana ili upate elimu bora.
Aidha nafasi uliyoipata ni ya kujivunia na unatakiwa kuitumia vema kwa manufaa yako, familia na taifa kwa ujumla. Kumbuka, ‘elimu ni ufunguo wa maisha’ itafute kwa bidii. Kiwango cha ubora wa maisha ya usoni kwa kila mtanzania na taifa kinategemea maandalizi yako ya sasa katika elimu bora ili kuikwamua jamii hususani familia yako inayowekeza katika ELIMU BORA NA ENDELEVU katika janga la ujinga na umasikini.

Hapa ni maelezo kuhusu Shule ya Sekondari P0326 Lumumba:

Jina la Shule: P0326 Lumumba

Namba ya Usajili wa Shule:

Aina ya Shule: Sekondari

Mkoa:

Wilaya:

Michepuo (Combinations) ya Shule Hii

  • Orodha ya Combination zinazopatikana

Waliochaguliwa Kidato cha Tano 2024/2025

Bofya Hapa kuangalia orodha ya wanafunzi waliopangwa kuja shule hii.

Kidato cha Tano Joining Instructions 2025

Pata Maelezo kuhusu fomu za kujiunga na shule hii. Ili kupata fomu ya kujiunga kupitia WhatsApp, jiunge na link hii.

NECTA: Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2025

Pakua Matokeo ya ACSEE 2024. Kupata matokeo kupitia WhatsApp, jiunge na link hii.

Mawasiliano ya Shule

SHULE YA SEKONDARI LULUMBA,
S. L. P. 08,
KIOMBOI – SINGIDA,
SIMU: 0787439490/0712337779

Ikiwa unahitaji maelezo zaidi, tafadhali wasiliana na uongozi wa shule kupitia mawasiliano yaliyoainishwa.

Categorized in: