Tag: ajira

  • AJIRA 235 WALIMU DARAJA LA III C – KIINGEREZA (ENGLISH)

    MDAs & LGAs

    235 Positions

    Application Period

    18/10/2025 – 01/11/2025

    Duties and Responsibilities

    i.Kuandaa azimio la kazi, maandalio ya masomo, nukuu za masomo na Mpango wa Kazi wa majukumu mengine aliyokabidhiwa;

    ii.Kutengeneza na Kufaraghua zana za kufundishia na kujifunzia;

    iii.Kufundisha, kufanya Tathmini na kutunza kumbukumbu za Maendeleo ya Wanafunzi;

    iv.Kusimamia na kufuatilia mahudhurio ya wanafunzi Shuleni na Darasani;

    v.Kusimamia malezi ya wanafunzi Kiakili, Kimwili, Kiroho na kutoa ushauri nasaha na unasihi;

    vi.Kutoa ushauri wa Kitaalamu na kutaaluma kuhusu maendeleo ya Elimu;

    vii.Kusimamia na utunzaji wa vifaa na mali za Shule;

    viii.Kazi nyingine atakazopangwa na Mkuu wa Shule kulingana na majukumu ya Shule;

    Qualifications

    Kuajiriwa mwenye Shahada ya Elimu (Bachelor with Education) au Shahada ya Ualimu (Bachelor of Education) yenye somo la kufundishia la Kiingereza au Shahada isiyo ya Ualimu/Elimu yenye somo la kufundishia la Kiingereza  pamoja na Stashahada ya Uzamili ya Elimu (Postgraduate Diploma in Education) kutoka Vyuo vya Elimu  ya Juu vinavyotambulika na Serikali. 

    Remuneration

    TGTS- D

  • AJIRA 459 MWALIMU DARAJA LA III B (BAIOLOJIA)

    MDAs & LGAs

    459 Positions

    Application Period

    18/10/2025 – 01/11/2025

    Duties and Responsibilities

    1. Kuandaa azimio la kazi, maandalio ya masomo, nukuu za masomo na Mpango wa Kazi wa majukumu mengine aliyokabidhiwa;
    2. Kutengeneza na Kufaraghua zana za kufundishia na kujifunzia;
    3. Kufundisha, kufanya Tathmini na kutunza kumbukumbu za Maendeleo ya Wanafunzi;
    4. Kusimamia na kufuatilia mahudhurio ya wanafunzi Shuleni na Darasani;
    5. Kusimamia malezi ya wanafunzi Kiakili, Kimwili, Kiroho na kutoa ushauri nasaha na unasihi;
    6. Kutoa ushauri wa Kitaalamu na kutaaluma kuhusu maendeleo ya Elimu;
    7. Kusimamia na utunzaji wa vifaa na mali za Shule;
    8. Kazi nyingine atakazopangwa na Mkuu wa Shule kulingana na majukumu ya Shule

    Qualifications

    Kuajiriwa mwenye cheti cha Mtihani wa Taifa wa Kidato cha Sita ambaye amefaulu masomo mawili au zaidi yanayofundishwa shuleni na kufaulu mafunzo ya Stashahada ya Ualimu ya miaka miwili (2) yenye somo la kufundishia la Baiolojia kutoka  Vyuo vya Ualimu vinavyotambulka na Serikali.  

    Remuneration

    TGTS-C

  • AJIRA 219 MSAIDIZI AFYA YA MAZINGIRA II (ENVIROMENTAL HEALTH ASSISTANT II)

    MDAs & LGAs

    219 Positions

    Application Period

    18/10/2025 – 01/11/2025

    Duties and Responsibilities

    i.Kudhibiti na kuzuia milipuko ya magonjwa;

    ii.Kupambana na kuzuia wadudu na wanyama wanaoeneza magonjwa;

    iii.Kusimamia uzikaji wa maiti zisizotambuliwa na zile zinazotokana na magonjwa ya kuambukiza;

    iv.Kuandaa taarifa mbali mbali za Afya ya Mazingira katika ngazi ya kata na kuziwasilisha katika mamlaka husika;

    v.Kukusanya na kuchambua takwimu za Afya ya Mazingira, katika kata na kutoa mrejesho ili kuchukua hatua zinazostahili;

    vi.Kutoa elimu ya afya ya mazingira kwa jamii;

    vii.Kukagua mazingira katika sehemu zinapotengenezwa vyakula ili kuhakikisha usalama na afya ya jamii;

    viii.Kusimamia sheria za afya ya mazingira katika ngazi ya Kata pamoja na kusaidia jamii katika kutengeneza sheria ndogondogo;

    ix.Kuhamasisha jamii katika kuboresha vyanzo vya maji na Usafi wa Mazingira;

    x.Kuhamasisha jamii kuhusu utekelezaji wa Huduma za Afya ya Msingi katika ngazi ya Kata; na

    xi.Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi zinazohusiana na elimu, uzoefu na ujuzi wake.

    Qualifications

    Kuajiriwa wenye Astashahada ya Sayansi ya Afya ya Mazingira kutoka chuo kinachotambuliwa na Serikali.

    Remuneration

    TGHS A

  • AJIRA 1000 WALIMU DARAJA LA III B – SHULE YA MSINGI

    MDAs & LGAs

    1000 Positions

    Application Period

    18/10/2025 – 01/11/2025

    Duties and Responsibilities

    i. Kuandaa azimio la kazi, maandalio ya masomo, nukuu za masomo na Mpango wa Kazi wa majukumu mengine aliyokabidhiwa;

    ii. Kutengeneza na Kufaraghua zana za kufundishia na kujifunzia;

    iii. Kufundisha, kufanya Tathimini na kutunza kumbukumbu za  Maendeleo ya Wanafunzi;

    iv. Kusimamia na kufuatilia mahudhurio ya wanafunzi Shuleni na Darasani;

    v. Kusimamia malezi ya wanafunzi Kiakili, Kimwili, Kiroho na kutoa  ushauri nasaha na unasihi;

    vi. Kutoa ushauri wa kitaalamu na kitaaluma kuhusu maendeleo ya Elimu;

    vii. Kusimamia na utunzaji wa vifaa na mali za shule; na

    viii. Kazi nyingine atakazopangiwa na Mkuu wa Shule kulingana na majukumu ya Shule.

    Qualifications

    Kuajiriwa wenye Stashahada ya Elimu ya Msingi (Diploma in Primary Education) au Stashahada ya Elimu ya Sekondari (Diploma in Secondary Education/Diploma in Education) yenye masomo ya kufundishia ya Sanaa (Art Subjects) kutoka  Vyuo vya Ualimu vinavyotambulika na Serikali. 

    Remuneration

    TGTS- C.

  • AJIRA 1218 WALIMU DARAJA LA IIIC (BAIOLOJIA)

    MDAs & LGAs

    1218 Positions

    Application Period

    18/10/2025 – 01/11/2025

    Duties and Responsibilities

    i.         Kuandaa azimio la kazi, maandalio ya masomo, nukuu za masomo na Mpango wa Kazi wa majukumu mengine aliyokabidhiwa;

    ii.        Kutengeneza na Kufaraghua zana za kufundishia na kujifunzia;

    iii.       Kufundisha, kufanya Tathmini na kutunza kumbukumbu za Maendeleo ya Wanafunzi;

    iv.      Kusimamia na kufuatilia mahudhurio ya wanafunzi Shuleni na Darasani;

    v.        Kusimamia malezi ya wanafunzi Kiakili, Kimwili, Kiroho na kutoa ushauri nasaha na unasihi;

    vi.      Kutoa ushauri wa Kitaalamu na kutaaluma kuhusu maendeleo ya Elimu;

    vii.     Kusimamia na utunzaji wa vifaa na mali za Shule;

    viii.    Kazi nyingine atakazopangwa na Mkuu wa Shule kulingana na majukumu ya Shule

    Qualifications

    ·       Kuajiriwa mwenye Shahada ya Elimu (Bachelor with Education) au Shahada ya Ualimu (Bachelor of Education) yenye somo la kufundishia la Baiolojia au Shahada isiyo ya Ualimu/Elimu yenye somo la kufundishia la Baiolojia pamoja na Stashahada ya Uzamili ya Elimu (Postgraduate Diploma in Education) kutoka Vyuo vya Elimu  ya Juu vinavyotambulika na Serikali.

    Remuneration

    TGTS- D

  • MWALIMU DARAJA LA III B – HISABATI (MATHEMATICS)

    MDAs & LGAs

    709 Positions

    Application Period

    18/10/2025 – 01/11/2025

    Duties and Responsibilities

    i.Kuandaa azimio la kazi, maandalio ya masomo, nukuu za masomo na Mpango wa Kazi wa majukumu mengine aliyokabidhiwa;

    ii.Kutengeneza na Kufaraghua zana za kufundishia na kujifunzia;

    iii.Kufundisha, kufanya Tathimini na kutunza kumbukumbu za  Maendeleo ya Wanafunzi;

    iv.Kusimamia na kufuatilia mahudhurio ya wanafunzi Shuleni na Darasani;

    v.Kusimamia malezi ya wanafunzi Kiakili, Kimwili, Kiroho na kutoa  ushauri nasaha na unasihi;

    vi.Kutoa ushauri wa kitaalamu na kitaaluma kuhusu maendeleo ya Elimu;

    vii.Kusimamia na utunzaji wa vifaa na mali za shule; na 

    viii.Kazi nyingine atakazopangiwa na Mkuu wa Shule kulingana na majukumu ya Shule.

    Qualifications

    Kuajiriwa mwenye cheti cha Mtihani wa Taifa wa Kidato cha Sita ambaye amefaulu masomo mawili au zaidi yanayofundishwa shuleni na kufaulu mafunzo ya Stashahada ya Ualimu ya miaka miwili (2) yenye somo la kufundishia la Hisabati kutoka Vyuo vya Ualimu vinavyotambulika na Serikali. 

    Remuneration

    TGTS-C

  • NAFASI 1883 MWALIMU DARAJA LA III C – HISABATI (MATHEMATICS)

    MDAs & LGAs

    1883 Positions

    Application Period

    18/10/2025 – 01/11/2025

    Duties and Responsibilities

    i.Kuandaa azimio la kazi, maandalio ya masomo, nukuu za masomo na Mpango wa Kazi wa majukumu mengine aliyokabidhiwa;

    ii.Kutengeneza na Kufaraghua zana za kufundishia na kujifunzia;

    iii.Kufundisha, kufanya Tathmini na kutunza kumbukumbu za Maendeleo ya Wanafunzi;

    iv.Kusimamia na kufuatilia mahudhurio ya wanafunzi Shuleni na Darasani;

    v.Kusimamia malezi ya wanafunzi Kiakili, Kimwili, Kiroho na kutoa ushauri nasaha na unasihi;

    vi.Kutoa ushauri wa Kitaalamu na kutaaluma kuhusu maendeleo ya Elimu;

    vii.Kusimamia na utunzaji wa vifaa na mali za Shule; na

    viii.Kazi nyingine atakazopangwa na Mkuu wa Shule kulingana na majukumu ya Shule

    Qualifications

    Kuajiriwa mwenye Shahada ya Elimu (Bachelor with Education) au Shahada ya Ualimu (Bachelor of Education) yenye somo la kufundishia la Hisabati au Shahada isiyo ya Ualimu/Elimu yenye somo la kufundishia la Hisabati pamoja na Stashahada ya Uzamili ya Elimu (Postgraduate Diploma in Education) kutoka Vyuo vya Elimu  ya Juu vinavyotambulika na Serikali. 

    Remuneration

    TGTS- D

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KYERWA 24-03-2025

    JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA KYERWA

    Kumb. Na. FG. 740/898/11/97 24/03/2025

    TANGAZO LA NAFASI YA KAZI

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa amepokea kibali cha ajira mpya kwa Ikama ya mwaka 2023/2024 kutoka kwa Katibu Mkuu – Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora chenye Kumb. Na. FA.97/288/01/09 cha tarehe 25/06/2024. Hivyo, Watanzania wote wenye sifa na uwezo wanatangaziwa kutuma maombi ya kazi kujaza nafasi zifuatazo:

    1.0 MSAIDIZI WA MAENDELEO YA JAMII DARAJA LA II – NAFASI 06

    1.1 KAZI NA MAJUKUMU

    i) Kuratibu shughuli zote za Maendeleo ya Jamii kwa kuzingatia jinsia. ii) Kuraghabisha jamii kuanzia ngazi ya familia katika kubuni, kupanga, kutekeleza, kusimamia, na kutathmini mipango au miradi ya maendeleo. iii) Kuhamasisha kuondokana na mila/desturi potofu na kuwa na mtazamo wa kupenda mabadiliko. iv) Kutoa taarifa za utekelezaji wa kazi zake kila mwezi. v) Kuelimisha jamii juu ya kutekeleza masuala ya kijinsia. vi) Kuhamasisha jamii kutumia teknolojia sahihi na rahisi. vii) Kuelimisha jamii juu ya umuhimu wa kutoa taarifa za matukio mbalimbali kama vifo, milipuko ya magonjwa, masoko, uzalishaji mali, vyakula, ajira, na unyanyasaji wa kijinsia. viii) Kuhamasisha jamii kujiunga na Elimu ya Watu Wazima. ix) Kuelimisha jamii kuhusu masuala ya watoto. x) Kukusanya, kuchambua, na kuweka takwimu zinazozingatia jinsia zitakazowezesha jamii kupanga mipango yao. xi) Atafanya kazi nyingine za fani yake kama atakavyopangiwa na mkuu wake wa kazi.

    1.1.1 SIFA ZA MWOMBAJI

    Mwombaji awe na Cheti cha Kidato cha Nne (IV) au Sita (VI) aliyehitimu mafunzo ya Astashahada/Cheti katika moja ya fani zifuatazo; Maendeleo ya Jamii na Sayansi ya Sanaa kutoka chuo kinachotambuliwa na Serikali.

    1.1.2 NGAZI YA MSHAHARA

    Kwa kuzingatia ngazi za mishahara ya Serikali – TGS B

    2.0 MASHARTI YA JUMLA KWA WAOMBAJI

    i. Waombaji wote wawe ni Raia wa Tanzania na wenye umri wa kuanzia miaka 18 na usiozidi miaka 45 isipokuwa kwa wale tu walioko kazini Serikalini.

    ii. Waombaji wote waambatishe cheti cha kuzaliwa kilichothibitishwa na Mwanasheria/Wakili.

    iii. Waombaji wenye ulemavu wanahamasishwa kutuma maombi na wanapaswa kuainisha kwenye mfumo wa kuombea ajira ulemavu walionao kwa ajili ya taarifa kwa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma.

    iv. Waombaji waambatanishe maelezo binafsi yanayojitosheleza (Detailed CV) yenye anwani na namba za simu za kuaminika pamoja na majina ya wadhamini (referees) watatu wa kuaminika.

    v. Maombi yote yaambatane na vyeti vya taaluma, maelezo, nakala za vyeti vilivyothibitishwa na Mwanasheria/Wakili ambavyo ni vyeti ya kuzaliwa, Kidato cha Nne, Kidato cha Sita kwa wale waliofikia kiwango hicho, na vyeti vya kuhitimu mafunzo mbalimbali kwa kuzingatia sifa za kazi husika.

    vi. “Testimonials”, “Provisional Results”, “Statement of Results”, hati za matokeo za Kidato cha Nne na Sita (FORM IV AND FORM VI RESULTS SLIPS) HAVITAKUBALIWA.

    vii. Waombaji waliosoma nje ya Tanzania wahakikishe vyeti vyao vimehakikiwa na kuidhinishwa na mamlaka husika (TCU, NECTA, na NACTE).

    viii. Waombaji waliostaafishwa katika Utumishi wa Umma hawaruhusiwi kuomba isipokuwa kama wana kibali cha Katibu Mkuu Kiongozi.

    ix. Waombaji kazi ambao tayari ni waajiriwa katika nafasi za kuingilia walioko katika Utumishi wa Umma wasiombe na wanatakiwa kuzingatia maelekezo yaliyo katika Waraka Na. CCA.45/257/01/D/140 wa tarehe 30 Novemba, 2010.

    x. Waombaji watakaowasilisha taarifa na sifa za kughushi watachukuliwa hatua za kisheria. xi. Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 05 Aprili, 2025 saa 6.00 Usiku.

    xii. MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu. Anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa:

    MKURUGENZI MTENDAJI, HALMASHAURI YA WILAYA YA KYERWA, S.L.P 72, KYERWA.

    xiii. Maombi yote yatumwe kwenye mfumo wa kielectroniki wa Ajira Recruitment Portal kupitia anuani ifuatayo: https://portal.ajira.go.tz (Anuani hii pia inapatikana kwenye tovuti ya Sekretarieti ya Ajira kwa kuingia sehemu iliyoandikwa ‘Recruitment Portal’). xiv. Maombi yatakayowasilishwa nje ya utaratibu ulioainishwa katika tangazo hili HAYATAFIKIRIWA.

    Limetolewa na: MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA KYERWA