
AJIRA ZA SERIKALI
bukoba, dar es salaam, Dodoma, Kagera, Kigoma, Lindi, Mbeya, Mwanza, Singida, Tabora, Tanga, TANZANIA
Posted 4 weeks ago
Wasailiwa wote waliochaguliwa kuendelea na hatua zinazofuata wanatakiwa kuzingatia muda na eneo la kufanyia usaili.
Wasailiwa wote wanakumbushwa kufika na vyeti vyao halisi (Original Certificates) pamoja na kitambulisho.