AJIRA ZA SERIKALI
bukoba, dar es salaam, Dodoma, Kagera, Kigoma, Lindi, Mbeya, Mwanza, Singida, Tabora, Tanga, TANZANIA
Posted 4 weeks ago

Wasailiwa wote waliochaguliwa kuendelea na hatua zinazofuata wanatakiwa kuzingatia muda na eneo la kufanyia usaili.

Wasailiwa wote wanakumbushwa kufika na vyeti vyao halisi (Original Certificates) pamoja na kitambulisho.

Apply For This Job