Join Us on WhatsApp JIUNGE NASI WHATSAPP
Uhakika News
  • Home
  • MICHEZO
    • Mikeka ya leo
  • AJIRA KAZI
  • NYIMBO MPYA YA
  • ELIMU
    • JKT selection
    • Form One Selections
    • form five selections
    • NECTA Form Six Results
    • NECTA Standard Seven Results
No Result
View All Result
AI News
  • Home
  • MICHEZO
    • Mikeka ya leo
  • AJIRA KAZI
  • NYIMBO MPYA YA
  • ELIMU
    • JKT selection
    • Form One Selections
    • form five selections
    • NECTA Form Six Results
    • NECTA Standard Seven Results
No Result
View All Result
UK News
No Result
View All Result

Awamu ya kwanza Majina ya Wanafunzia walipata mikopo na ruzuku yenye jumla ya wanafunzi 135,240

by Mr Uhakika
October 24, 2025
in HESLB
Reading Time: 2 mins read
A A
Share on FacebookShare on Twitter
Table of contents
  1. You might also like
  2. Orodha ya Majina Ya Waliopata Mkopo HESLB Batch 1, 2 & 3 – Pakua PDF 2025/26
  3. HESLB Majina ya Waliopata Mkopo 2025 – Mikopo ya Wanafunzi wa Stashahada kwa Wanufaika
  4. Share this:
  5. Related
Join Us on WhatsApp KARIBU UJIUNGE NASI WHATSAPP

426.5 BILIONI ZATOLEWA KWA WANAFUNZI 135,240

Pakua PDF yako hapa Pakua PDF yako hapa Pakua PDF yako hapa

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) leo Ijumaa, Oktoba 24,2025 imetoa awamu ya kwanza ya upangaji mikopo na ruzuku yenye jumla ya wanafunzi 135,240. Idadi hii inajumuisha wanafunzi wafuatato:

You might also like

Orodha ya Majina Ya Waliopata Mkopo HESLB Batch 1, 2 & 3 – Pakua PDF 2025/26

HESLB Majina ya Waliopata Mkopo 2025 – Mikopo ya Wanafunzi wa Stashahada kwa Wanufaika

i.      Wanafunzi 40,952 wa shahada ya awali na wanafunzi 5,342 wa stashahada waliopangiwa mikopo kiasi cha TZS. 152 bilioni.

ii.     Wanafunzi 615 wa Samia Skolashipu waliopangiwa ruzuku kiasi cha TZS. 3.3 bilioni.

iii.     Wanafunzi 88,331 wanaoendelea na masomo wamepangiwa mkopo kiasi cha TZS. 271.2 bilioni baada ya kufaulu mitihani yao ya mwaka uliotangulia.

Bodi ya Mikopo itaendelea kutoa awamu zingine za mikopo na skolashipu kadiri itakavyopokea uthibitisho wa udahili kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza na matokeo kwa wanafunzi wanaoendelea na masomo. 

Aidha, Bodi ya Mikopo inawakumbusha waombaji wa mikopo na ruzuku kuendelea kufuatilia taarifa za maombi yao kupitia ‘SIPA’ wakati taratibu za uchambuzi na upangaji wa mikopo na ruzuku zikiendelea.

TAZAMA MAJINA HAPA

Imetolewa na:

Mkurugenzi Mtendaji
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB)
Ijumaa, Oktoba 24, 2025

Share this:

  • Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
  • Click to share on X (Opens in new window) X

Related

Tags: HESLBhivyo ni muhimu kufuatilia taarifa za hivi karibuni kutoka HESLB. Kwa maelezo zaidi na usaidizi wa kuomba mkopo
ShareTweetPin
JE UNA MASWALI? JIUNGE NASI WHATSAPP
Previous Post

Matokeo ya Darasa la Saba Zanzibar 2025: Mwongozo wa Kuangalia na Orodha ya Shule

Next Post

Ummahati Islamiya Primary School

Mr Uhakika

Mr Uhakika

Related Stories

Maombi ya mkopo HESLB OLAMS – Online Loan Application 2025/26 – HESLB online application

Orodha ya Majina Ya Waliopata Mkopo HESLB Batch 1, 2 & 3 – Pakua PDF 2025/26

by Mr Uhakika
October 15, 2025
0

Unatafuta majina ya waliopata mkopo wa HESLB kwa mwaka wa 2025/26? Usihangaike tena! Tumekusanya orodha kamili itakayopatikana kwa urahisi na awamu katika fomati ya PDF. Usipoteze muda kutafuta...

Maombi ya mkopo HESLB OLAMS – Online Loan Application 2025/26 – HESLB online application

HESLB Majina ya Waliopata Mkopo 2025 – Mikopo ya Wanafunzi wa Stashahada kwa Wanufaika

by Mr Uhakika
October 14, 2025
0

Katika mwaka wa 2025, wanafunzi wengi wa stashahada wamepata mkopo kutoka katika shirika la elimu ya juu nchini. Huu ni wakati wa furaha na matumaini kwa wanufaika hawa,...

Maombi ya mkopo HESLB OLAMS – Online Loan Application 2025/26 – HESLB online application

Jinsi Ya kurekebisha Makosa ya kuomba mkopo HESLB

by Mr Uhakika
June 23, 2025
0

Makosa ya kujaza au kuomba mkopo HESLB (Higher Education Students' Loans Board) ni kawaida kutokea na wanafunzi wengi hukumbana nayo. Hapa chini ni mwongozo wa jinsi ya kurekebisha...

Maombi ya mkopo HESLB OLAMS – Online Loan Application 2025/26 – HESLB online application

Majina ya waliokosea kuomba mkopo HESLB 2025/2026

by Mr Uhakika
June 23, 2025
0

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) ni taasisi inayosimamia utoaji wa mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu nchini Tanzania. Kila mwaka, HESLB hutoa...

Load More
Next Post
Matokeo ya Darasa la Saba 2025 – NECTA Standard Seven Results 2025

Ummahati Islamiya Primary School

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *