MICHEZO: Klabu ya Real Madrid imetangaza rasmi kumsajili kocha Mhispania Xabi Alonso
MICHEZO: Klabu ya Real Madrid imetangaza rasmi kumsajili kocha Mhispania Xabi Alonso kwa mkataba wa miaka mitatu, kuanzia Juni 1, 2025, kuchukua nafasi ya Carlo Ancelotti ambaye anatarajiwa kuagwa rasmi…