Join Us on WhatsApp JIUNGE NASI WHATSAPP
Uhakika News
  • Home
  • MICHEZO
    • Mikeka ya leo
  • AJIRA KAZI
  • NYIMBO MPYA YA
  • ELIMU
    • JKT selection
    • Form One Selections
    • form five selections
    • NECTA Form Six Results
    • NECTA Standard Seven Results
No Result
View All Result
AI News
  • Home
  • MICHEZO
    • Mikeka ya leo
  • AJIRA KAZI
  • NYIMBO MPYA YA
  • ELIMU
    • JKT selection
    • Form One Selections
    • form five selections
    • NECTA Form Six Results
    • NECTA Standard Seven Results
No Result
View All Result
UK News
No Result
View All Result

DUBE MCHEZAJI BORA FEBRUARI LIGI KUU YA NBC

by Mr Uhakika
March 15, 2025
in MICHEZO
Reading Time: 2 mins read
A A
Share on FacebookShare on Twitter
Table of contents
  1. You might also like
  2. FADLU DAVIDS TRANSFER UPDATE🔴
  3. Pyramids FC Fiston Mayele ya kutocheza mechi moja
  4. Share this:
  5. Related
Join Us on WhatsApp KARIBU UJIUNGE NASI WHATSAPP

MSHAMBULIAJI wa timu ya Young Africans (Yanga) ya Dar es Salaam, Prince Dube, amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa mwezi Februari wa Ligi Kuu ya NBC msimu wa mwaka 2024/25, huku Miloud Hamdi pia wa Yanga akichaguliwa Kocha Bora wa ligi hiyo kwa mwezi huo.

Pakua PDF yako hapa Pakua PDF yako hapa Pakua PDF yako hapa

Dube alionesha kiwango kizuri chenye mwendelezo akiwashinda Aziz Ki wa Yanga na Selemani Bwenzi wa KenGold, alioingia nao fainali katika mchakato wa Tuzo za Mwezi uliofanywa na Kamati ya Tuzo za Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF).

You might also like

FADLU DAVIDS TRANSFER UPDATE🔴

Pyramids FC Fiston Mayele ya kutocheza mechi moja

Mchezaji huyo alitoa mchango mkubwa kwa timu yake katika michezo saba ambayo Yanga ilicheza mwezi huo na kufunga mabao matano na kuhusika na mengine matano kwa dakika 562 alizocheza. Yanga ilishinda michezo sita na kutoka sare mmoja.

Kwa upande wa Hamdi aliyeingia fainali katika mchakato huo na Fadlu Davids wa Simba na Fred Minziro wa Pamba Jiji, aliiongoza Yanga kushinda michezo minne na sare moja, ambapo kwa mwezi huo Yanga ilicheza michezo saba.

Hamdi aliiongoza Yanga ilipotoka suluhu na JKT Tanzania, kisha ikazifunga KMC mabao 1-6, Singida Black Stars (2-1), Mashujaa (0-5) na Pamba Jiji (0-3). Mechi nyingine ambazo Yanga ilishinda mwezi huo lakini haikuwa chini ya Hamdi ni dhidi ya KenGold (6-1) na dhidi ya Kagera Sugar (4-0).

Pia Kamati ya Tuzo imemchagua Meneja wa Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo uliopo Dar es Salaam, Ashraf Omar, kuwa Meneja Bora wa Uwanja kwa mwezi Februari kutokana na kufanya vizuri katika menejimenti ya matukio ya michezo pamoja na masuala yanayohusu miundombinu uwanjani.

Share this:

  • Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
  • Click to share on X (Opens in new window) X

Related

Tags: michezonbc ligi kuu bara
ShareTweetPin
JE UNA MASWALI? JIUNGE NASI WHATSAPP
Previous Post

Msimamo wa Ligi Kuu NBC 2024/25: Kituo Muhimu cha Soka la Tanzania

Next Post

Wafungaji wa Ligi Kuu NBC 2024/25: Nyota Zinazong’ara

Mr Uhakika

Mr Uhakika

Related Stories

FADLU DAVIDS TRANSFER UPDATE🔴

FADLU DAVIDS TRANSFER UPDATE🔴

by Mr Uhakika
May 13, 2025
0

Kocha mkuu wa Simba SC, Fadlu Davids amekataa ofa kutoka Orlando Pirates kuelekea msimu ujao Fadlu amekataa kurudi tena Orlando Pirates na anafurahia kazi anayoifanya Simba SC Orlando...

Pyramids FC Fiston Mayele ya kutocheza mechi moja

Pyramids FC Fiston Mayele ya kutocheza mechi moja

by Mr Uhakika
May 12, 2025
0

Bodi ya Ligi Kuu nchini Misri imempiga adhabu mshambuliaji wa klabu ya Pyramids FC Fiston Mayele ya kutocheza mechi moja na kulipa faini ya Paundi elfu tano za...

Klabu ya Wydad ya nchini Morocco imewataarifu klabu ya Yanga SC

Klabu ya Wydad ya nchini Morocco imewataarifu klabu ya Yanga SC

by Mr Uhakika
May 12, 2025
0

TETESI ZA USAJILI 🚨 Klabu ya Wydad ya nchini Morocco imewataarifu klabu ya Yanga SC🔰 ambayo inammiliki Mchezaji CLEMENT MZIZE kwamba endapo itakubali OFA yao ya kumnunua Mzize...

MICHEZO: Klabu ya Real Madrid imetangaza rasmi kumsajili kocha Mhispania Xabi Alonso

MICHEZO: Klabu ya Real Madrid imetangaza rasmi kumsajili kocha Mhispania Xabi Alonso

by Mr Uhakika
May 12, 2025
0

MICHEZO: Klabu ya Real Madrid imetangaza rasmi kumsajili kocha Mhispania Xabi Alonso kwa mkataba wa miaka mitatu, kuanzia Juni 1, 2025, kuchukua nafasi ya Carlo Ancelotti ambaye anatarajiwa...

Load More
Next Post
top scorer nbc premier league 2024/25

Wafungaji wa Ligi Kuu NBC 2024/25: Nyota Zinazong'ara

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *