TETESI ZA USAJILI 🚨
Klabu ya Wydad ya nchini Morocco imewataarifu klabu ya Yanga SC🔰 ambayo inammiliki Mchezaji CLEMENT MZIZE kwamba endapo itakubali OFA yao ya kumnunua Mzize kwa $500,000 na BONUS yenye vigezo Juu.
•
Wydad wametoa ahadi ya kuwaalika Yanga SC kufanya pre-season yao ijayo nchini MOROCCO, BURE kabisa, gharama zote zitakuwa juu yao kama BONUS pia.✅
•
Clement Mzize ni mali, Yanga wenyewe ndo wataamua kumuuza au wabaki nae!!🎲😉
•
PIA KLABU YA AL-ITTIHAD LIBYA nao wameweka OFA kwa Yanga wakimhuitaji CLEMENT MZIZE pamoja na KI AZIZ!!😜😜
•
SASA HAPA YANGA NDO WATAAMUA KUSUKA AMA KUNYOAA!!🔰
FOLLOW @esauuofficial
Comments