Join Us on WhatsApp JIUNGE NASI WHATSAPP
Uhakika News
  • Home
  • MICHEZO
    • Mikeka ya leo
  • AJIRA KAZI
  • NYIMBO MPYA YA
  • ELIMU
    • JKT selection
    • Form One Selections
    • form five selections
    • NECTA Form Six Results
    • NECTA Standard Seven Results
No Result
View All Result
AI News
  • Home
  • MICHEZO
    • Mikeka ya leo
  • AJIRA KAZI
  • NYIMBO MPYA YA
  • ELIMU
    • JKT selection
    • Form One Selections
    • form five selections
    • NECTA Form Six Results
    • NECTA Standard Seven Results
No Result
View All Result
UK News
No Result
View All Result

Klabu ya Wydad ya nchini Morocco imewataarifu klabu ya Yanga SC

by Mr Uhakika
May 12, 2025
in Habari
Reading Time: 1 min read
A A
Share on FacebookShare on Twitter
Join Us on WhatsApp KARIBU UJIUNGE NASI WHATSAPP

TETESI ZA USAJILI 🚨

Klabu ya Wydad ya nchini Morocco imewataarifu klabu ya Yanga SC🔰 ambayo inammiliki Mchezaji CLEMENT MZIZE kwamba endapo itakubali OFA yao ya kumnunua Mzize kwa $500,000 na BONUS yenye vigezo Juu.
•
Wydad wametoa ahadi ya kuwaalika Yanga SC kufanya pre-season yao ijayo nchini MOROCCO, BURE kabisa, gharama zote zitakuwa juu yao kama BONUS pia.✅
•
Clement Mzize ni mali, Yanga wenyewe ndo wataamua kumuuza au wabaki nae!!🎲😉
•
PIA KLABU YA AL-ITTIHAD LIBYA nao wameweka OFA kwa Yanga wakimhuitaji CLEMENT MZIZE pamoja na KI AZIZ!!😜😜
•
SASA HAPA YANGA NDO WATAAMUA KUSUKA AMA KUNYOAA!!🔰

You might also like

Mechi live: Young Africans vs Simba

Mechi ya simba vs berkane live leo

FOLLOW @esauuofficial

Share this:

  • Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
  • Click to share on X (Opens in new window) X

Related

Tags: michezoSimba SCYanga SC
ShareTweetPin
JE UNA MASWALI? JIUNGE NASI WHATSAPP
Previous Post

MICHEZO: Klabu ya Real Madrid imetangaza rasmi kumsajili kocha Mhispania Xabi Alonso

Next Post

Pyramids FC Fiston Mayele ya kutocheza mechi moja

Mr Uhakika

Mr Uhakika

Related Stories

Mechi live: Young Africans vs Simba

by Mr Uhakika
June 25, 2025
0

Kwa habari za hivi punde kuhusu matokeo ya mechi na matukio ya timu hizi, unaweza kutembelea tovuti za ScoreBat na Sofascore, ambazo hutoa matokeo ya moja kwa moja...

mechi ya simba na berkane live

Mechi ya simba vs berkane live leo

by Mr Uhakika
May 25, 2025
0

Leo, Jumapili, Mei 25, 2025, Simba SC inakutana na RS Berkane katika mechi ya pili ya fainali ya Kombe la Shirikisho la CAF. Mechi hii itachezwa kwenye Uwanja...

Steven Mukwala Profile

Steven Mukwala Profile

by Mr Uhakika
May 13, 2025
0

Profile ya Steven Mukwala KipengeleMaelezoJina KamiliSteven Dese MukwalaTarehe ya KuzaliwaJulai 15, 1999 (miaka 25)Mahali alipozaliwaMakindye, UgandaUraiaUgandaUrefu1.76 mNafasi UwanjaniCentre-Forward (Straika wa kati)Klabu ya SasaSimba SC (Tanzania)Namba ya Jezi11Alipojiunga na...

LIVE STREAM

LIVE STREAM: Mechi ya Yanga Sc vs Namungo fc Leo msimu wa 2024/2025

by Mr Uhakika
May 13, 2025
0

Kwa mujibu wa ratiba ya Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara msimu wa 2024/2025, mechi kati ya Yanga SC na Namungo FC ilipangwa kuchezwa tarehe 30 Novemba 2024....

Load More
Next Post
Pyramids FC Fiston Mayele ya kutocheza mechi moja

Pyramids FC Fiston Mayele ya kutocheza mechi moja

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

No Result
View All Result
  • Home
  • MICHEZO
    • Mikeka ya leo
  • AJIRA KAZI
  • NYIMBO MPYA YA
  • ELIMU
    • JKT selection
    • Form One Selections
    • form five selections
    • NECTA Form Six Results
    • NECTA Standard Seven Results

© 2025 Uhakika News