Klabu ya Wydad ya nchini Morocco imewataarifu klabu ya Yanga SC

Advertisements
PATA HABARI CHAP JIUNGE NASI WHATSAPP

TETESI ZA USAJILI 🚨

Klabu ya Wydad ya nchini Morocco imewataarifu klabu ya Yanga SC🔰 ambayo inammiliki Mchezaji CLEMENT MZIZE kwamba endapo itakubali OFA yao ya kumnunua Mzize kwa $500,000 na BONUS yenye vigezo Juu.
•
Wydad wametoa ahadi ya kuwaalika Yanga SC kufanya pre-season yao ijayo nchini MOROCCO, BURE kabisa, gharama zote zitakuwa juu yao kama BONUS pia.✅
•
Clement Mzize ni mali, Yanga wenyewe ndo wataamua kumuuza au wabaki nae!!🎲😉
•
PIA KLABU YA AL-ITTIHAD LIBYA nao wameweka OFA kwa Yanga wakimhuitaji CLEMENT MZIZE pamoja na KI AZIZ!!😜😜
•
SASA HAPA YANGA NDO WATAAMUA KUSUKA AMA KUNYOAA!!🔰

Advertisements
JE UNA MASWALI? JIUNGE NASI WHATSAPP

FOLLOW @esauuofficial

Advertisements
Join Us on WhatsApp JIUNGE NASI WHATSAPP