Join Us on WhatsApp JIUNGE NASI WHATSAPP
Uhakika News
  • Home
  • MICHEZO
    • Mikeka ya leo
  • AJIRA KAZI
  • NYIMBO MPYA YA
  • ELIMU
    • JKT selection
    • Form One Selections
    • form five selections
    • NECTA Form Six Results
    • NECTA Standard Seven Results
No Result
View All Result
AI News
  • Home
  • MICHEZO
    • Mikeka ya leo
  • AJIRA KAZI
  • NYIMBO MPYA YA
  • ELIMU
    • JKT selection
    • Form One Selections
    • form five selections
    • NECTA Form Six Results
    • NECTA Standard Seven Results
No Result
View All Result
UK News
No Result
View All Result

kocha wa Tabora United Anicet Kiazayidi Makiadi

by Mr Uhakika
March 24, 2025
in Habari, Uncategorized
Reading Time: 1 min read
A A
Share on FacebookShare on Twitter

You might also like

Top assists Ligi kuu bara 2024/2025

Kanuni za Ligi Kuu NBC 2024/2025 – Sheria za mpira wa miguu

Join Us on WhatsApp KARIBU UJIUNGE NASI WHATSAPP

Hosea mchopa amezungumza na kocha wa Tabora United Anicet Kiazayidi Makiadi @kiazmak ambaye yupo kwenye kozi ya refresh Congo baada ya taarifa za uvumi kuwa amevunjiwa mkataba na timu ya Tabora United ambao wanaotarajiwa kumtangaza rasmi kocha Mpya Mzimbabwe, Genesis Mangombe.
Makiadi amesema mashabiki wake na Tabora United kwanza amewakumbuka sana na ameahidi atarudi kwani hakuna sababu inayomzuia kurudi Tanzania kwa sababu ana mkataba na timu ya Tabora United.
Amesema yupo Tabora United na ataendelea kufundisha kitu ambacho anaamini amekifanya vyema mpaka sasa akiwa Tabora United.
Pia amesifu ukuaji wa Ligi ya Tanzania akijivunia kuwa sehemu ya makocha wanaoshiriki safari hiyo.
Kuhusu wachezaji wa Kitanzania amesifu vipaji vya wachezaji wazawa akiwemo Offen Chikola na kutamani kuona wachezaji wengi wa Kitanzania wakifanya vizuri zaidi.

Share this:

  • Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
  • Click to share on X (Opens in new window) X

Related

Tags: nbc ligi kuu baraTabora UnitedTETESI ZA SOKA
ShareTweetPin
JE UNA MASWALI? JIUNGE NASI WHATSAPP
Previous Post

SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA KOROGWE

Next Post

Feisal Salum anaendelea kuwa kinara wa kutoa pasi za mwisho

Mr Uhakika

Mr Uhakika

Related Stories

Top assists Ligi kuu bara 2024/2025

Top assists Ligi kuu bara 2024/2025

by Mr Uhakika
April 15, 2025
0

Jedwali la NBC Premier League - Misaada ya Magoli - Tanzania Premier League 2025 top assists table Wachezaji Wanaongoza kwa Asisti au mchango wa magoli NBC 2024/2025. MchezajiTimuNafasiMisaada...

top scorer nbc premier league 2024/25

Kanuni za Ligi Kuu NBC 2024/2025 – Sheria za mpira wa miguu

by Mr Uhakika
May 12, 2025
0

KANUNI ZILIZOBORESHWA Utangulizi Kanuni hizi za Ligi Kuu ni mwongozo wa uendeshaji na uchezaji wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Klabu zinazoshiriki katika Ligi Kuu zinawajibika na kulazimika kufuata,...

Suruhisho la mechi ya yanga Vs Simba leo

Suruhisho la mechi ya yanga Vs Simba leo

by Mr Uhakika
March 27, 2025
0

Leo, Machi 27, 2025, viongozi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), pamoja na klabu za Simba na Yanga, wanakutana katika...

Feisal salum kupewa ruhusa ya kuondoka Azam fc

Feisal salum kupewa ruhusa ya kuondoka Azam fc

by Mr Uhakika
March 25, 2025
0

Msimamizi wa idara ya Habari wa Klabu ya Azam Fc Thabit Zacharia maarufu kama (@zakazakazi ), amesema wako tayari kusikiliza ofa kwa mchezaji wao Feisal Salum ambaye mkataba...

Load More
Next Post
Feisal Salum anaendelea kuwa kinara wa kutoa pasi za mwisho

Feisal Salum anaendelea kuwa kinara wa kutoa pasi za mwisho

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

No Result
View All Result
  • Home
  • MICHEZO
    • Mikeka ya leo
  • AJIRA KAZI
  • NYIMBO MPYA YA
  • ELIMU
    • JKT selection
    • Form One Selections
    • form five selections
    • NECTA Form Six Results
    • NECTA Standard Seven Results

© 2025 Uhakika News