Mwanafunzi/Mwombaji wa mkopo hajaridhika na kiwango cha mkopo alichopatiwa au hajapangiwa mkopo anatakiwa kufanya nini?

Advertisements
PATA HABARI CHAP JIUNGE NASI WHATSAPP
  • Fursa ya kukata rufaa hutolewa baada ya kukamilisha zoezi la kupanga mikopo
  • Ikitokea mwombaji akakosa kwenye rufaa, atapata fursa ya kuomba tena kwa mwaka unaofatia
Advertisements
Join Us on WhatsApp JIUNGE NASI WHATSAPP