Ni nyaraka gani muhimu zinatakiwa wakati wa kuomba mkopo?

Advertisements
PATA HABARI CHAP JIUNGE NASI WHATSAPP
  • Cheti cha kuzaliwa cha mwombaji kilichothibitishwa na RITA/ZCSRA
  • Cheti cha kifo ikiwa umepoteza mzazi kilichothibitishwa na RITA/ZCSRA
  •  iKitambulisho cha mdhamini (NIDA, Mpiga Kura, Leseni ya Udereva au Pasi ya Kusafiria). Unaweza kutumia kimoja kati ya vitambulisho hivi
  • Fomu ya ufadhili iliyojazwa kwa usahihi ikiwa ulifadhiliwa katika masomo ya sekondari
  • Barua ya Mganga Mkuu wa Wilaya au Mkoa ikiwa mwombaji au mzazi wake ana ulemavu vii.
  • Picha (passport size) za mwombaji wa mkopo na mdhamini wake (mdhamini anaweza kuwa mzazi au mlezi)
Advertisements
Join Us on WhatsApp JIUNGE NASI WHATSAPP