Ni nyaraka gani muhimu zinatakiwa wakati wa kuomba mkopo?
JKT PDF JKT PDF!
DOWNLOAD.
- Cheti cha kuzaliwa cha mwombaji kilichothibitishwa na RITA/ZCSRA
- Cheti cha kifo ikiwa umepoteza mzazi kilichothibitishwa na RITA/ZCSRA
-  iKitambulisho cha mdhamini (NIDA, Mpiga Kura, Leseni ya Udereva au Pasi ya Kusafiria). Unaweza kutumia kimoja kati ya vitambulisho hivi
- Fomu ya ufadhili iliyojazwa kwa usahihi ikiwa ulifadhiliwa katika masomo ya sekondari
- Barua ya Mganga Mkuu wa Wilaya au Mkoa ikiwa mwombaji au mzazi wake ana ulemavu vii.
- Picha (passport size) za mwombaji wa mkopo na mdhamini wake (mdhamini anaweza kuwa mzazi au mlezi)
Related
Previous Article
Next Article
Comments