Ameandika mchambuzi wa soka HANS RAPHAEL Binafsi nadhani Ousmane Dembélé akifanikiwa kutwaaUEFA basi atapita na Ballon d’Or.Msimu huu tayari Dembele ana ubingwa wa League 1,timu yake iko fainali kwenye Coupe de France na Uefa inanukia.Pia ukizingatia Dembele msimu huu ameshafunga goli (33) na Assist (12) kwenye mechi (45) Za mashindano yote.Huu ni mwaka wa DembeleKARIBU UTANGAZE NASI BIASHARA / JAMBO LAKO KWA BEI YA OFA.✍️:@yuzzo_79#
FADLU DAVIDS TRANSFER UPDATE🔴
Kocha mkuu wa Simba SC, Fadlu Davids amekataa ofa kutoka Orlando Pirates kuelekea msimu ujao Fadlu amekataa kurudi tena Orlando Pirates na anafurahia kazi anayoifanya Simba SC Orlando...




