Ousmane Dembélé akifanikiwa kutwaa UEFA basi atapita na Ballon d’Or

Advertisements
PATA HABARI CHAP JIUNGE NASI WHATSAPP

Ameandika mchambuzi wa soka HANS RAPHAEL Binafsi nadhani Ousmane Dembélé akifanikiwa kutwaaUEFA basi atapita na Ballon d’Or.Msimu huu tayari Dembele ana ubingwa wa League 1,timu yake iko fainali kwenye Coupe de France na Uefa inanukia.Pia ukizingatia Dembele msimu huu ameshafunga goli (33) na Assist (12) kwenye mechi (45) Za mashindano yote.Huu ni mwaka wa DembeleKARIBU UTANGAZE NASI BIASHARA / JAMBO LAKO KWA BEI YA OFA.✍️:@yuzzo_79#

Advertisements
JE UNA MASWALI? JIUNGE NASI WHATSAPP
Advertisements
Join Us on WhatsApp JIUNGE NASI WHATSAPP