Shule ya Sekondari ya Wasichana Mpanda ipo umbali wa Kilometa 8 Magharibi,kutoka stendi kuu ya mabasi ya Mji wa Mpanda.Usafiri kutoka mjini kuja shuleni unapatikana.Kutoka kituo cha mabasi Mizengo Pinda, Nauli ni Shilingi 3000/= kwa pikipiki na Shilingi 3000/= kwa bajaji.
Mawasiliano ya Shule
Mkuu wa Shule 0757533898
Makamu Mkuu wa Shule 0755247496
Matron 0783451863
Shule ya Sekondari ya Wasichan Mpanda
S.L.P 228,
MPANDA- KATAVI.
Tarehe 16.04.2024
- Namba ya Usajili wa Shule: P0228
- Aina ya Shule: Sekondari ya Wasichana
- Mkoa: Katavi
- Wilaya: Mpanda
Michepuo (Combinations) ya Shule Hii:
- PCM, EGM, PCB, CBG, HGE, HGK, HGL, HKL ECAc, BuAcM, EBuAc
Waliochaguliwa Kidato cha Tano 2024/2025
Kuona orodha ya wanafunzi waliopangwa kwenda shule hii, tafadhali: Bofya Hapa
Kidato cha Tano Joining Instructions 2025
Fomu za kujiunga zinapatikana kwa urahisi. Hakikisha unafuata maelekezo yaliyotolewa.
Kupata fomu ya kujiunga kupitia WhatsApp, jiunge na link hii.
NECTA: Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2025
Ili kuona matokeo ya Kidato cha Sita – ACSEE 2024: Pakua Matokeo
Kupata matokeo kupitia WhatsApp, jiunge na link hii.
Comments