Shule ya Sekondari ya Wasichana Mpanda ipo umbali wa Kilometa 8 Magharibi,kutoka stendi kuu ya mabasi ya Mji wa Mpanda.Usafiri kutoka mjini kuja shuleni unapatikana.Kutoka kituo cha mabasi Mizengo Pinda, Nauli ni Shilingi 3000/= kwa pikipiki na Shilingi 3000/= kwa bajaji.

Mawasiliano ya Shule

Mkuu wa Shule 0757533898
Makamu Mkuu wa Shule 0755247496
Matron 0783451863
Shule ya Sekondari ya Wasichan Mpanda
S.L.P 228,
MPANDA- KATAVI.
Tarehe 16.04.2024

  • Namba ya Usajili wa Shule: P0228
  • Aina ya Shule: Sekondari ya Wasichana
  • Mkoa: Katavi
  • Wilaya: Mpanda

Michepuo (Combinations) ya Shule Hii:

  • PCM, EGM, PCB, CBG, HGE, HGK, HGL, HKL ECAc, BuAcM, EBuAc

Waliochaguliwa Kidato cha Tano 2024/2025

Kuona orodha ya wanafunzi waliopangwa kwenda shule hii, tafadhali: Bofya Hapa

Kidato cha Tano Joining Instructions 2025

Fomu za kujiunga zinapatikana kwa urahisi. Hakikisha unafuata maelekezo yaliyotolewa.

Joining Instructions

Kupata fomu ya kujiunga kupitia WhatsApp, jiunge na link hii.

NECTA: Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2025

Ili kuona matokeo ya Kidato cha Sita – ACSEE 2024: Pakua Matokeo

Kupata matokeo kupitia WhatsApp, jiunge na link hii.

Categorized in: