- Kuwasilisha taarifa zake kwa afisa mikopo (Namba ya usajili na taarifa za benki)
- Kusaini malipo yanayotumwa chuoni kwake ndani ya muda uliopangwa
- Kutoa taarifa kwa afisa mikopo wa chuo chake mapema, kama kuna tatizo lolote linalohusiana na mkopo wake
- Kutembelea tovuti ya HESLB ili kupata taarifa mbalimbali za mikopo ya elimu ya juu

Comments