Wajibu wa mwanafunzi mwenye mkopo akiwa chuoni ni upi?

Advertisements
PATA HABARI CHAP JIUNGE NASI WHATSAPP
  • Kuwasilisha taarifa zake kwa afisa mikopo (Namba ya usajili na taarifa za benki)
  • Kusaini malipo yanayotumwa chuoni kwake ndani ya muda uliopangwa
  • Kutoa taarifa kwa afisa mikopo wa chuo chake mapema, kama kuna tatizo lolote linalohusiana na mkopo wake
  • Kutembelea tovuti ya HESLB ili kupata taarifa mbalimbali za mikopo ya elimu ya juu
Advertisements
Join Us on WhatsApp JIUNGE NASI WHATSAPP