Join Us on WhatsApp JIUNGE NASI WHATSAPP
Uhakika News
  • Home
  • MICHEZO
    • Mikeka ya leo
  • AJIRA KAZI
  • NYIMBO MPYA YA
  • ELIMU
    • JKT selection
    • Form One Selections
    • form five selections
    • NECTA Form Six Results
    • NECTA Standard Seven Results
No Result
View All Result
AI News
  • Home
  • MICHEZO
    • Mikeka ya leo
  • AJIRA KAZI
  • NYIMBO MPYA YA
  • ELIMU
    • JKT selection
    • Form One Selections
    • form five selections
    • NECTA Form Six Results
    • NECTA Standard Seven Results
No Result
View All Result
UK News
No Result
View All Result

🚨SERIKALI KUINGILIA KATI MECHI YA DABI

by Mr Uhakika
March 25, 2025
in Habari
Reading Time: 1 min read
A A
Share on FacebookShare on Twitter
Join Us on WhatsApp KARIBU UJIUNGE NASI WHATSAPP

➡️Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo wa Tanzania , Profesa Palamagamba Kabudi anatarajiwa kukutana na viongozi wa Simba Sports Club na Young Africans kuzungumzia sakata la uamuzi wa Simba kugomea mechi ya watani wa jadi iliyokuwa ifanyike Machi 8, 2025 kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam.

➡️Wengine ambao wanatarajiwa kushiriki kikao hicho kilichopangwa kufanyika Machi 27 mwaka huu ni viongozi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) pamoja na viongozi kutoka bodi ya Ligi Kuu ya Tanzania (TPBL).

You might also like

FADLU DAVIDS TRANSFER UPDATE🔴

Pyramids FC Fiston Mayele ya kutocheza mechi moja

➡️Timu ya Simba Sports Club iligomea mchezo huo kwa madai ya ukiukwaji wa Kanuni namba 17(45) ya Kanuni za Ligi Kuu Tanzania Bara, ambayo inaruhusu timu ngeni kufanya mazoezi kwenye uwanja wa mechi angalau mara moja kabla ya siku ya mechi.

Share this:

  • Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
  • Click to share on X (Opens in new window) X

Related

Tags: michezoSimba FCYanga FC
ShareTweetPin
JE UNA MASWALI? JIUNGE NASI WHATSAPP
Previous Post

Jinsi ya Kutazama Mechi ya Morocco vs Tanzania

Next Post

Feisal salum kupewa ruhusa ya kuondoka Azam fc

Mr Uhakika

Mr Uhakika

Related Stories

FADLU DAVIDS TRANSFER UPDATE🔴

FADLU DAVIDS TRANSFER UPDATE🔴

by Mr Uhakika
May 13, 2025
0

Kocha mkuu wa Simba SC, Fadlu Davids amekataa ofa kutoka Orlando Pirates kuelekea msimu ujao Fadlu amekataa kurudi tena Orlando Pirates na anafurahia kazi anayoifanya Simba SC Orlando...

Pyramids FC Fiston Mayele ya kutocheza mechi moja

Pyramids FC Fiston Mayele ya kutocheza mechi moja

by Mr Uhakika
May 12, 2025
0

Bodi ya Ligi Kuu nchini Misri imempiga adhabu mshambuliaji wa klabu ya Pyramids FC Fiston Mayele ya kutocheza mechi moja na kulipa faini ya Paundi elfu tano za...

Klabu ya Wydad ya nchini Morocco imewataarifu klabu ya Yanga SC

Klabu ya Wydad ya nchini Morocco imewataarifu klabu ya Yanga SC

by Mr Uhakika
May 12, 2025
0

TETESI ZA USAJILI 🚨 Klabu ya Wydad ya nchini Morocco imewataarifu klabu ya Yanga SC🔰 ambayo inammiliki Mchezaji CLEMENT MZIZE kwamba endapo itakubali OFA yao ya kumnunua Mzize...

MICHEZO: Klabu ya Real Madrid imetangaza rasmi kumsajili kocha Mhispania Xabi Alonso

MICHEZO: Klabu ya Real Madrid imetangaza rasmi kumsajili kocha Mhispania Xabi Alonso

by Mr Uhakika
May 12, 2025
0

MICHEZO: Klabu ya Real Madrid imetangaza rasmi kumsajili kocha Mhispania Xabi Alonso kwa mkataba wa miaka mitatu, kuanzia Juni 1, 2025, kuchukua nafasi ya Carlo Ancelotti ambaye anatarajiwa...

Load More
Next Post
Feisal salum kupewa ruhusa ya kuondoka Azam fc

Feisal salum kupewa ruhusa ya kuondoka Azam fc

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

No Result
View All Result
  • Home
  • MICHEZO
    • Mikeka ya leo
  • AJIRA KAZI
  • NYIMBO MPYA YA
  • ELIMU
    • JKT selection
    • Form One Selections
    • form five selections
    • NECTA Form Six Results
    • NECTA Standard Seven Results

© 2025 Uhakika News